FOR ALL IAA : IMPORTANT ANNOUNCEMENT, MUST READ (IAA TAB)







                           !!!!!  TANGAZO MUHIMU !!!!

                           TO ALL IAA STUDENTS****


Habari yako, pole na majukumu, Leo jumamosi tarehe 23/04 unatakiwa kwenda ofisi za IT HELP DESK, saa 2 asubuhi - 10 jioni (pako katikati ya NYANGUMI HALL NA CH1, ili kujisajili katika mfumo mpya wa chuo (computerized system) " MOODLE" wa kufundishia, ku-submit assignment, kuwasiliana na lectures, matangazo ya ndani ya chuo na kutolea matokeo amabapo kila mtu atakua anapata ya kwake mwenyewe tu kwenye hiyo account yake, amabayo utaweza kui-access hata kwa simu yako au laptop kokote ulipo.

Utapewa username na password kwa ajili ya account hiyo,..

!!! Ni lazima kila mwanafunzi kujisajili kwenye moodle!!
****  Tafadhali usipuuzie, pia waambie na wengine, Ahsante ** 

 FROM:
  WAZIRI - ELIMU IAASO
   kwa niaba ya chuo.



kwa msaada au maelezo zaidi kuhusu jambo hili,  call 0768 632368/ 0716 778 737

Unaweza 1. kutembelea pia website ya chuo,   www.iaa.ac.tz/moodle

                 2. IT HELP DESK  kwa maelezo zaidi.

                               !!!!!! VERY IMPORTANT !!!!

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.