PICHA 4 ZA AJALI ALIYOPATA MSANII DARASSA AKIWA NA HASCANA ILIYOTOKEA KAHAMA


Mwanamuziki Darassa ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake wa Muziki jana alipata ajali akiwa na Mtayarishaji wa video Hanscana walipokuwa njiani wakirejea Dar es Salaam kutoka Kahama.

Ajali hiyo inaelezwa kuwa ilitokea eneo la Ntobo barabara ya kuelekea mgodi wa Bullyanhulu, Wilaya ya Kahama mkoa wa Shinyanga.

Taarifa kutoka eneo la tukio zinaeleza kuwa hakuna aliefariki dunia




No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.