IDRIS SULTAN APIGWA CHINI KUSHEREHESHA TUZO ZA MTV MAMA BONDENI MWEZI UJAO

Image result for IDRIS SULTAN

Mchekeshaji wa Afrika Kusini anayefanyia kazi nchini Marekani, Trevor Noah, ametangazwa kuwa mshereheshaji wa tuzo za mwaka huu za MTV MAMA.

Awali Idris Sultan, Basket Mouth (Nigeria), Idris Elba (Uingereza) na Kevin Hart (Marekani) walikuwa miongoni mwa washereheshaji wengine waliokuwa wanafikiriwa.
cs2fwocukaaed35
Tuzo hizo zitafanyika October 22, 2016, kwenye ukumbi wa Ticket Pro Dome, Johannesburg, Afrika Kusini. Yemi Alade, Ycee, Cassper Nyovest na Alikiba wanatarajiwa kuwasha moto kwa kutumbuiza.

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.