KAMPUNI YA ACCER YAZINDUA LAPTOP YA KWANZA YENYE KIOO CHA KUJIPINDA +PICHA

Acer yazindua laptopu yenye kioo kilichojipinda

Kampuni ya Acer imezindua laptop ya kwanza ilio na kioo kilichojipinda.Acer inasema kuwa uvumbuzi huo utaiwezesha kucheza michezo ya video.
Televisheni kadhaa pia zimetumia uvumbuzi huo,lakini umezua mgawanyiko kwa kuwa una umuhimu na ubaya wake.
Kampuni hiyo ya Taiwan pia ilitangaza kwamba imefanikiwa kupata tekenolojia ya pet katika mkutano na wanahabari mjini Berlin.
Acer yazindua laptopu yenye kioo kilichojipinda
Kampuni kadhaa za kielektroniki ikiwemo Samsung,Lenovo,DJI,Sony na Huawei zinatarajiwa kuzindua sura mpya ya laptopu zake katika maonyesho ya kiteknolojia ya Ifa katika mji mkuu wa Ujerumani wiki hii.
Image result for acer new laptops 2016

Image result for acer new laptops 2016

Laptop hiyo ina kioo kikubwa ikilinganishwa na laptop ya kawaida ya Acer,lakini ni umbo lake ambalo liliifanya kampuni hiyo kudai kuwa ya kwanza kuzinduliwa duniani.

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.