PICHA: UNAWEZA KUSEMA NI NGUO YA NDANI LAKINI LADY GAGA AMEVALIA KWENYE TAMASHA NA KUWAACHA MIDOMO WAZI.

3853f7f000000578-3788351-image-a-2_1473832249960

Hata kama ni fashion lakini hii ni mpya kutoka kwa bibie Gaga ambaye alitokelezea katika maonesho ya fashion mapema jumanne ya jana,

Tamasha hilo pia lilihudhuriwa na mastaa wengine wengi akiwemo mwanamitindo maarufu Naomi Campbell, Jussie Smollett, Brandon Maxwell, Stephen Gan, Inez van Lamsweerde na wengine wengi.

Lady Gaga anayefanya mziki aina ya Pop Marekani, ameshangaza watu kutokana na kivazi chake alichovaa kwenye maonesho ya mavazi ya New York Fashion Week show, Jumanne hii.

Tazama picha hizi.... 

38522f1800000578-0-image-m-11_1473816501489

3852228400000578-0-image-m-25_1473818085554

3851db5c00000578-0-image-m-26_1473818110618

38521c7700000578-0-image-m-27_1473818137978


No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.