DIAMOND, ALIKIBA , NAVY KENZO NA VANESSA MDEE WATAJWA KUWANIA TUZO ZA SOUNDCITY MVP
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za Soundcity MVP 2016 yametangazwa. Diamond ametajwa kuwania vipengele vitatu, Vanessa Mdee viwili huku Alikiba na Navy Kenzo wakiwa na kimoja kimoja.
Tuzo hizo zitatolewa kwenye ukumbi wa uliopo Eko Hotel jijini Lagos, December 29.
Chini ni category walizotajwa wasanii wa Tanzania:
No comments:
Post a Comment