PICHA : CHELSEA YATOA JEZI MPYA, KUVALIWA MSIMU UJAO...
4 May 2016
Jezi mpya za Chelsea ambazo zimeoneshwa leo May 4 2016 zitapatika kwa gharama ya pound 90 ambazo ni zaidi ya Tsh laki mbili na elfu hamsini bila kuprintiwa namba na jina, jezi mpya za Chelsea watazivaa kwa mara ya kwanza katika mechi yao ya mwisho ya msimu wa 2015/2016 dhidi ya mabingwa wapya wa EPL Leicester City.
PICHA : CHELSEA YATOA JEZI MPYA, KUVALIWA MSIMU UJAO...
Reviewed by JANASIOLEO
on
6:43:00 AM
Rating: 5
No comments:
Post a Comment