BLACK COFFEE AMBWAGA DIAMOND PLATNUMZ, WIZKID ,,,
DJ raia wa Afrika Kusini ambaye pia
ni producer maarufu kama Black Coffee, amewabwaga wanamuziki maarufu
wakiwemo WizKid, Yemi Alade na Diamond Platnumz na kushinda tuzo la
kimataifa la usanii la BET.
Mwaka 2015 na 2016 umaarufu wake uling'aa katika ulingo wa kimataifa maeneo tofauti kote duniani
Tuzo hilo llitangazwa kupitia kwa mitandao ya kijamii.
No comments:
Post a Comment