TAREHE 13, ALI KIBA NA BARAKA DA PRINCE KUITEKA TANZANIA
Tanzania inatarajiwa kunyamaza kimya kwa muda mnamo Jumanne tarehe 13, ni baada ya nyimbo mpya ya collaboration ya Ali kiba na Baraka Da Prince kuachiwa rasmi, ambapo kupitia katika ukurasa wa Baraka Da Prince na Ali kiba wameeleza.....
Kutoka Instagram nimekusogezea hapa karibu yako.... alichoandika Ali kiba
The most anticipated collaboration "Nisamehe" will officially be released on 13.9.2016. #Nisamehe#Prince x King pic.twitter.com/KGyrKTbFWx— BarakahThePrince (@BarakaThePrince) September 10, 2016
No comments:
Post a Comment