ALBERT MSANDO AOMBA RADHI BAADA YA VIDEO YAKE NA GIGY ONEY KUSAMBAA MITANDAONI.

Related image

Mwanasheria Albert Msando amewaomba radhi ndugu, jamaa pamoja na mashabiki baada ya kusambaa kwa video yake mtandaoni inayomuonyesha akishikana na video queen, Gigy Money.

Msando amesema anawaomba msamaha wote aliowakwaza, wote walio kereka na video hiyo ambayo alipokelewa vibaya na mashabiki wengi mtandaoni.

“Nikikaa kimya nitakua mnafiki. Nimekosea. Kilichotokea hakikupaswa kutokea. I will be a man enough and say sorry kwa wote ambao nimewakwaza na kuwaangusha. Am so sorry. But the beauty of all this is we all are human. Kuna watu ambao wamekuwa wepesi kuhukumu. Siwalaumu. Ni sawa na ni haki yao. I made a stupid mistake. I take full responsibility. Mwisho wa siku maisha lazima yaendelee. It could have been worse. And to all those who took time to text I appreciate. Thats friendship. #TheDon #Hennessy #TheClip” aliandika Msando kupitia Instagram.

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.