BREAKING NEWS : NDEGE YA ABIRIA YAANGUKA NORWAY




Ndege moja imeanguka karibu na mji wa Norway wa Bergen huku ikiwa na abiria 14 na kuna ripoti ya watu kuonekana katika bahari.
Maafisa wa uokoaji wameviambia vyombo vya habari kwamba ndege hiyo imeharibika vibaya.
Picha kutoka katika eneo la mkasa huo zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka katika eneo lenye mwamba mkubwa.
Gazeti la Norway Aftonbladet limeripoti kwamba ndege hiyo aina ya helikopta ilikuwa ikielekea katika eneo la mafuta la Brage kutoka Bergen

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.