P SQUARE WAMEOMBA HAYA MATATU KUTOKA KWA MASHABIKI WAO.



Peter Okoye wa P Square ametoa maelezo kamili kwa mashabiki wa P Square kuhusu ushirikiano wao kwenye muziki wa kundi hilo na kusema vitu vitatu muhimu ambavyo ni mashabiki wanaweza kutoa ushirikiano wao ni kumpa nguvu Paul Okoye kama Rudeboy Peter Okoye kama Mr P na kwa wote wawili kama P Square bila kubagua.
Paul Okoye ana record lebel iliyopewa jina RudeBoy Records na ana wasanii Muno na Lucy huku Peter Okoye anayetumia Mr P anafanya kazi na meneja mpya Olatunde Michael na atakuwa akifanya show zake mwenyewe.

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.