VIDEO : MWENYEKITI CHA CHADEMA, MH. MBOWE AMEHAIRISHA MAANDAMANO YA OPERESHENI UKUTA YALIYOTARAJIWA KUFANYIKA KESHO




Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo ametangaza kusitishwa kwa maandamano ya Oparesheni UKUTA yaliyokuwa yamepangwa kufanyika kesho nchi nzima.

Mbowe ametoa kauli hiyo ya kuahirisha maandamano mchana huu wakati akiongea na vyombo mbalimbali vya habari.

Amesema sababu kubwa za kuahirisha maandamano hayo ni busara zaviongozi wa dini ambao wameiomba Chadema iwape muda wa   kutafuta Suluhu 

Mbowe amesema maandamano hayo yameahirishwa hadi Oktoba Mosi 

Msikilize hapo chini akiongea  ..........





Viongozi wa upinzani wakati wa kikao na wanahabari Dar es Salaam
Viongozi waandamizi wa CHADEMA wakishikana mikono ishara ya UMOJA katika kikao na waandishi wa habari 

Bw Lowassa, ambaye aliwania urais kupitia Chadema
Edward Lowassa akiongozana na John Mnyika kuingia ukumbi walipo waandishi wa habari 

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.