WAZIRI NCHEMBA AAGIZA WALIMU WALIONEKANA KATIKA VIDEO HII WAKIMPIGA MWANAFUNZI KUFUATILIWA MARA MOJA +VIDEO


Video hii ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii kuanzia leo alfajiri inawaonyesha walimu wakichangia kumpiga mwanafunzi mmoja ndani ya ofisi.

Walimu hawa wanaonekana si tu wanampiga mwanafunzi huyo kwa viboko, bali wengine wanampiga makofi ya uso, huku walimu wengine wakiwasihi wamuache mwanafunzi huyo kwani wanaweza kumuumiza.

Inadawa shule hii ni Mbeya Day, iliyopo jijini Mbeya


No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.