EATVAWARDS | MAJINA YA WASANII WATAKAOWANIA TUZO HIZO 10/12 DAR ES SALAAM

eatv-awards1

Kwa kuanzia yametajwa majina ya wasanii kutoka katika vipengele viwili kati ya kumi vilivyopo kwenye tuzo hizo huku zoezi hilo likitarajiwa kufanyika kwa siku nne ambapo litakamilika Ijumaa hii ya Novemba 11.
Hii ni orodha ya wasanii waliotajwa kwenye vipengele hivyo.
Mwanamuziki bora chipukizi
Man Fongo
Feza Kessy
Ruky Baby
Mayunga
Bright
Muigizaji bora wa kiume
Saidi Ali – Ndugu wa mume
Meya Shabani – Profile
Daudi Tairo (Duma) –
Salim Ahmed (Gabo) – Safari ya Gwalu
Dotto Matotora – Likwacha Lala

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.