RAIS MAGUFULI AMTEUA MAMA SALMA KIKWETE KUWA MBUNGE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, tarehe 01 Machi, 2017 amemteua Mhe. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Subscribe to our newsletter to get all the latest updates to your inbox..!
No comments:
Post a Comment