PICHA : MH. RAIS MAGUFULI KATIKA FUTARI YA IKULU.... IMEHUDHURIWA NA VIONGOZI WA DINI NA WANANCHI WENGINE.
Rais Dkt John Pombe Magufuli alijumuika na viongozi mbalimbali wa dini kwenye futari aliyoandaa Ikulu jijini Dar es Salaam Jumanne, Juni 14, 2016. Tazama picha za futari hiyo hapo chini.
No comments:
Post a Comment