ZIKIWA ZIMEBAKI SAA NNE SIMU FEKI KUZIMWA, TCRA WAMESEMA TAARIFA HII YA MWISHO MWISHO...


Ni June 15, 2016  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  yenye dhamana ya kusimamia shughuli za Mawasiliano ya Kielektroniki wametoa tamko la mwisho kwa wananchi wanaoendelea kutumia simu bandia ambazo matumizi ya simu hizo hazijakizi kiwango maalumu.
Meneja Mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy…’Siku ya tarehe 16 ya mwezi huu simu zote bandia hazitafanya kazi katika Network za Tanzania, kuna maswali kwamba zitazimwa vipi kiujumla ni kwamba kila simu imetengenezwa na kupewa namba maalum  kila kifaa chochote cha mawasiliano ambayo inaitambulisha simu ni aina gani’- Innocent Mugy
Kwahiyo cha kimsingi kuanzia saa sita usiku kuamkia tarehe 16 mwezi huu kitakachotokea simu zote zile ambazo hazijakizi kiwango basi hazitaweza kufanya kazi kwa muda huo kwasababu ni bandia pia haziwezi kukizi kiwango cha umeme unaingia kwenye simu hiyo bandi – Innocent Mugy

No comments:

This Website Is Developed & Maintained By Jesse. Powered by Blogger.