NIMEKUSOGEZEA PICHA KADHAA MAUTUNDU YA NDONDO CUP... HATARIIII
Mashindano ya Ndondo Cup yananogeshwa na mashabiki wake kwa asilimia kubwa, ubunifu na aina yao ya ushangiliaji umekuwa ukiwavutia hata wale ambao hawana mazoea ya kuangalia mpira.
Sasa Julai 30 kulikuwa na balaa nje ya uwanja kati ya pande mbili za ushangiliaji wakati wa pambano la fainali kati ya Temeke Market dhidi ya Kauzu FC. Kila upande ulikuwa umejipanga kuhakikisha unaufunika upande mwingine na hapo ndipo burudani yenyewe ilipo.
No comments:
Post a Comment