Uchaguzi bado unaendelea nchini marekani ikiwa ni majimbo machache yakiwa yamesalia, kwa majimbo ambayo tayari, inaonesha kuwa Trump anaongoza mbele ya Hillary kwa 49.2% dhidi ya 46.5% ya Hillary Clinton.
Haya ni matokeo ya awali... matokeo kamili yatapatikana pale majimbo yote yatakapokamilika.
No comments:
Post a Comment